Mfumo kamili wa mauzo (POS) na usimamizi wa stoo uliotengenezwa mahususi kwa wafanyabiashara wa Tanzania. Rahisi, haraka, na salama.
DUKAIO imejengwa kukusaidia kukuza biashara yako bila maumivu ya kichwa.
Pata picha kamili ya mwenendo wa biashara yako. Jua faida, hasara, na bidhaa zinazotoka kwa kasi.
Fuatilia bidhaa zako kwa urahisi. Pokea taarifa stock inapoisha na udhibiti upotevu.
Pata notification za mauzo, stock, na ripoti muhimu moja kwa moja kwenye simu yako.
Video fupi inayoonesha jinsi ya kutumia mfumo wa DUKAIO.
Anza na kifurushi kinachoendana na bajeti yako. Hakuna gharama za ziada.
Kifurushi cha mwezi mmoja
Okoa Tsh 8,000
Okoa Tsh 16,000