Dhibiti Biashara Yako Kwa Akili Zaidi

Mfumo kamili wa mauzo (POS) na usimamizi wa stoo uliotengenezwa mahususi kwa wafanyabiashara wa Tanzania. Rahisi, haraka, na salama.

Tsh 145k
24 Wateja
Leo
Vipengele Muhimu

Kila Kitu Unachohitaji

DUKAIO imejengwa kukusaidia kukuza biashara yako bila maumivu ya kichwa.

Ripoti & Uchambuzi

Pata picha kamili ya mwenendo wa biashara yako. Jua faida, hasara, na bidhaa zinazotoka kwa kasi.

Udhibiti wa Stock

Fuatilia bidhaa zako kwa urahisi. Pokea taarifa stock inapoisha na udhibiti upotevu.

Taarifa za Papo Hapo

Pata notification za mauzo, stock, na ripoti muhimu moja kwa moja kwenye simu yako.

Jifunze

Angalia Jinsi Inavyofanya Kazi

Video fupi inayoonesha jinsi ya kutumia mfumo wa DUKAIO.

Video coming soon

Gharama Nafuu

Chagua Mpango Wako

Anza na kifurushi kinachoendana na bajeti yako. Hakuna gharama za ziada.

Mwezi

8,000/= Tsh

Kifurushi cha mwezi mmoja

  • Usimamizi wa Stoo
  • Mauzo (POS)
  • Ripoti za Kila Siku
  • Msaada wa Kiufundi
Chagua Mwezi
Inapendwa Zaidi

Miezi 6

40,000/= Tsh

Okoa Tsh 8,000

  • Access Miezi 6
  • Vipengele Vyote
  • Backup ya Data
  • Maboresho ya Bure
Chagua Miezi 6
Hadi 17% Punguzo

Mwaka

80,000/= Tsh

Okoa Tsh 16,000

  • Access Miezi 12
  • Usaidizi wa Kipaumbele
  • Custom Reports
  • Mafunzo ya Mfumo
Chagua Mwaka
```